Fadlu, Ahoua bora Agosti
Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amechaguliwa kuwa kocha bora wa Ligi Kuu Bara wa mwezi Agosti huku nyota wa timu hiyo, Jean Charles Ahoua akichaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya mwezi huo. Fadlu amewapiga chini Patrick Aussems wa Singida Black Stars na Abdalah Mohamed wa Mashujaa alioingia nao fainali baada ya kocha huyo raia […]
Fadlu, Ahoua bora Agosti Read More »