Admin

REA yaja na mpango kuwezesha ujenzi vituo vya mafuta vijijini

·       Mkopo wa hadi Shilingi Milioni 133 kwa riba ya 5%-7% kutolewa ·       Marejesho ni ndani ya Miaka 7 ·       Lengo ni kuhakikisha bidhaa za mafuta zinapatikana kwa gharama nafuu ·       Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mpango wa kuwezesha ujenzi na uendeshaji wa vituo vipya vidogo vya gharama nafuu vya bidhaa za […]

REA yaja na mpango kuwezesha ujenzi vituo vya mafuta vijijini Read More »

Amref Equips Health Workers to Transform Maternal Care in Tanzania

Shinyanga: Amref Health Africa in Tanzania, through the Thamini Uzazi Salama (Safe Motherhood) project, officially handed over essential working tools to 56 Community Health Workers (CHWs) in Shinyanga Region. This initiative aims to enhance the delivery of maternal and child health services, especially in underserved and remote areas. The support package includes bicycles, raincoats, gumboots, and backpacks, all

Amref Equips Health Workers to Transform Maternal Care in Tanzania Read More »

NMB Bank Reaffirms Gender Equality Leadership with 2nd EDGE Certification

By A Special Correspondent NMB Bank has once again earned global recognition for its unwavering commitment to gender-inclusive employment practices, achieving re-certification at the EDGE Assess level – the world’s leading standard for workplace gender equity and equality. Announcing the milestone at a press conference held yesterday at the bank’s headquarters in Dar es Salaam,

NMB Bank Reaffirms Gender Equality Leadership with 2nd EDGE Certification Read More »

Mmiliki wa mgodi Mwanamke aongoza mageuzi ya uchimbaji wa Shaba Mpwapwa

Mmiliki wa mgodi wa Ikombo Hill uliopo katika Kijiji cha Matonya, Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Doreen Kissia, ameibuka kuwa mfano wa kuigwa katika sekta ya uchimbaji wa madini ya shaba, akiwa mwanamke pekee anayeongoza mgodi unaotoa ajira kwa zaidi ya asilimia 98 ya wakazi wa vijiji vya Matonya na Kinusi. Doreen ameonesha uongozi bora

Mmiliki wa mgodi Mwanamke aongoza mageuzi ya uchimbaji wa Shaba Mpwapwa Read More »

Wataalam SADC wakutana Zimbabwe kujadili Sekta ya Nishati na Maji

📌 Miundombinu ya usafirishaji umeme kikanda kujadiliwa 📌 Nishati Safi ya kupikia kupewa kipaumbele 📌 Mkakati mahsusi wa kuongeza watumiaji wa umeme Afrika (M300) kuwa moja ya Ajenda 📌 Maendeleo ya Sekta ndogo ya Mafuta na Gesi pamoja na umeme vijijini kujadiliwa Wataalam wa Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zake  leo wameshiriki katika Mkutano

Wataalam SADC wakutana Zimbabwe kujadili Sekta ya Nishati na Maji Read More »

Kanuni 10 Zisizoandikwa Zinazofwata na Madereva wa Bolt Waliofanikiwa

Tanzania, Dar es Salaam, 30 Juni 2024 – Kampuni ya usafiri wa mtandaoni, Bolt, inaendelea kuongoza kwa kushikilia asilimia 70 ya soko la huduma za usafiri nchini. Mafanikio haya yanachangiwa kwa kiasi kikubwa na uwezo wake wa kuoanisha usalama, bei nafuu, na teknolojia bunifu inayokidhi mahitaji ya usafiri kwa tabaka mbalimbali za watumiaji. Katika mahojiano

Kanuni 10 Zisizoandikwa Zinazofwata na Madereva wa Bolt Waliofanikiwa Read More »