Admin

Miaka 5 ya uongozi madhubuti, uadilifu, unyenyekevu, maono na matokeo makubwa

MAARIFA MEDIA Leo inatoa pongezi kubwa kwa Ruth Zaipuna, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kwanza Mtanzania wa Benki ya NMB, kwa kutimiza miaka mitano kama Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB. Umekuwa muhimili Mkubwa kwenye sekta ya Benki nchini kupitia uwekezaji kwa watu, mageuzi ya kidijitali, utawala bora, miradi ya kijamii na kuongeza thamani ya […]

Miaka 5 ya uongozi madhubuti, uadilifu, unyenyekevu, maono na matokeo makubwa Read More »

Exim Bank’s 28-Year Legacy: A Story of Growth, Innovation, and Progressing with You

Dar es Salaam, Tanzania – Exim Bank Tanzania, one of the leading financial institutions in the region, is today celebrating its 28th anniversary under the theme, ‘28 Years of Progressing with You.’ The celebratory event, held at the bank’s head office Exim Tower in Dar es Salaam, brought together staff, management, and key stakeholders to

Exim Bank’s 28-Year Legacy: A Story of Growth, Innovation, and Progressing with You Read More »

Tanzania, Kenya, Uganda hatua moja mbele katika haki ya chakula

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU), anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri, Profesa John Safari, amesema kumekuwa na mabadiliko chanya katika ushiriki wa vyama vya kijamii na vya ushirika vinavyolenga kuchangia upatikanaji wa haki ya chakula kwa wanawake, wanaume, vijana na watoto nchini Tanzania, Kenya na Uganda ifikapo mwaka 2027. Akizungumza mwishoni

Tanzania, Kenya, Uganda hatua moja mbele katika haki ya chakula Read More »

Tanzania kushiriki Kabaddi Malaysia

Tanzania itashiriki mashindano ya Dunia ya Kabaddi ya ufukweni yatakayofanyika Malaysia kuanzia Septemba 23–29 mwaka huu. Mwenyekiti wa Chama cha Kabaddi Tanzania, Abdallah Nyoni alisema timu za wanaume na wanawake zitaiwakilisha nchi na zitaingia kambini Septemba 8 jijini Dar es Salaam. Alisema lengo ni kufanya vizuri na kuitangaza Tanzania kimataifa huku akitoa wito kwa wadau

Tanzania kushiriki Kabaddi Malaysia Read More »

Mashujaa yachukua kitasa Pamba

Mashujaa FC imemsajili beki wa kati wa Pamba Jiji, Samson Madeleke, akichukua nafasi ya Ame Ibrahim aliyejiunga na Mbeya City. Madeleke, ambaye aliwahi pia kucheza Mbeya City na Mashujaa, anakuwa mchezaji wa 11 kusajiliwa na klabu hiyo kuelekea msimu mpya. Mashujaa tayari imesajili wachezaji kadhaa akiwemo Selemani Bwenzi (KenGold), Omari Omari (Simba – mkopo), na

Mashujaa yachukua kitasa Pamba Read More »

Fountain Gate kutangaza kocha mpya

Fountain Gate imesema muda wowote itamtambulisha Kocha Mkuu mpya wa kimataifa kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Ofisa Habari wa klabu hiyo, Issa Liponda alisema kikosi kipo kambini Morogoro kikiendelea na mazoezi na pia wanatafuta mechi za kirafiki ili kuongeza viwango vya wachezaji. Aliongeza kuwa wamesajili wachezaji wenye ubora wa kimataifa

Fountain Gate kutangaza kocha mpya Read More »

Azam: Haikuwa rahisi kumpata Fofana

Klabu ya Azam imeeleza ugumu ilioupata katika kumsajili kipa Issa Fofana kutoka Al Hilal ya Sudan, pamoja na wachezaji wawili wa Tunisia, Baraket Hmidi na Ben Zitoune Tayeb. Mkuu wa Habari wa Azam, Thabit Zacharia alisema wachezaji kutoka Afrika Kaskazini mara nyingi husita kuja kucheza Tanzania kutokana na mazingira mapya wasiyozoea. Fofana, ambaye aliisaidia Al

Azam: Haikuwa rahisi kumpata Fofana Read More »

NMB Kijiji Day kuendelea kuelimisha jamii kuhusu usalama wa fedha vijijini

Benki ya NMB imeahidi kuendelea kutoa elimu ya fedha nchini ili kuzuia wananchi kuingia hasara kutokana na kuhifadhi fedha sehemu zisizo salama, ikiwemo kuzifukia ardhini, kuzihifadhi chini ya godoro au ndani ya nyumba. Akizungumza katika tamasha la NMB Kijiji Day lililofanyika Misongeni, Manispaa ya Morogoro, Meneja wa NMB Kanda ya Kati, Janeth Shango, alisema benki

NMB Kijiji Day kuendelea kuelimisha jamii kuhusu usalama wa fedha vijijini Read More »