REA yaja na mpango kuwezesha ujenzi vituo vya mafuta vijijini
· Mkopo wa hadi Shilingi Milioni 133 kwa riba ya 5%-7% kutolewa · Marejesho ni ndani ya Miaka 7 · Lengo ni kuhakikisha bidhaa za mafuta zinapatikana kwa gharama nafuu · Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mpango wa kuwezesha ujenzi na uendeshaji wa vituo vipya vidogo vya gharama nafuu vya bidhaa za […]
REA yaja na mpango kuwezesha ujenzi vituo vya mafuta vijijini Read More »