Fadlu Afunguka, aitaja Dabi
Kocha wa Simba, Fadlu Davids, amethibitisha rasmi kuwa timu yake inajiandaa kwa mchezo wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga utakaopigwa Juni 25, Uwanja wa Benjamin Mkapa. Fadlu alitoa kauli hiyo baada ya ushindi wa 5-0 dhidi ya Kengold FC, akieleza kuwa kwanza watakamilisha mchezo dhidi ya Kagera Sugar kabla ya kuelekeza nguvu zote kwenye […]
Fadlu Afunguka, aitaja Dabi Read More »