Wednesday, March 4, 2026
spot_img
HomeHabariBasi la wabunge lapata ajali Mbande, Dodoma

Basi la wabunge lapata ajali Mbande, Dodoma

Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.

Baadhi ya majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Uhuru na Benjamini Mkapa kwa ajili ya matibabu.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments