NMB Foundation yawanoa wakulima wa zao la kakao Kyela, Serikali yaipongeza
SERIKALI imeipongeza Taasisi za NMB Foundation kwa kuendesha Mafunzo kwa Wakulima wa Zao la Kakao kutoka Vyama vya Msingi vya Ushirika wa Kilimo na Masoko (AMCOS) wilayani Kyela, mkoani Mbeya, na kwamba kilichofanywa na taasisi hiyo ni kuunga mkono juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Mafunzo hayo yaliyolenga Kuongeza Thamani ya Zao la Kakao, Masoko […]
NMB Foundation yawanoa wakulima wa zao la kakao Kyela, Serikali yaipongeza Read More »