Sunday, January 25, 2026
spot_img
HomeGeneral NewsRais Samia akagua mabanda ya kilimo

Rais Samia akagua mabanda ya kilimo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan akikagua mabanda ya maonesho ya masuala ya kilimo nje ya Ukumbi wa Mikutano Jakaya Kikwete mara baada ya uzinduzi wa Jengo la Makao Makuu ya Benki ya Ushirika Tanzania, Jijini Dodoma tarehe 28 Aprili, 2025.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments