Thursday, March 5, 2026
spot_img
HomeHabariDk. Samia: Hatutaruhusu changamoto kuvunja jumuiya yetu

Dk. Samia: Hatutaruhusu changamoto kuvunja jumuiya yetu

“Tunamshukuru Mwenyezimungu kwa uwepo wa kiongozi mmoja walioshiriki kikamilifu kuifufua jumuiya yetu Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, Rais wa Jamhuri ya Uganda. Mwenyezimungu ampe afya njema.

Mheshimiwa Museveni amekuwa Mwalimu, msuluhishi na muunganishi na kiongozi wetu ndani ya Jumuiya.

Tunapotaka kukengeuka anaturudisha katika misingi ya Jumuiya,”Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments