Dkt. Samia: Kariakoo endeleeni kufanya biashara

“Ndugu zangu tukio hili ukiangalia kwa macho tu hata kama sio mtaalam linaashiria kuwepo kwa mapungufu ya kiutendaji na uwajibikaji. Hivyo basi wito wangu kila mmoja wetu atimize wajibu wake kikamilifu.

Ukiangalia jengo hili lilivyojengwa bila shaka lilipata vibali kutoka taasisi za serikali, Halmashauri wa eneo hili na wote wanaopaswa kutoa vibali,” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *