Habari

Serikali yazindua Mpango wa Kitaifa Kuimarisha Haki na Usalama wa Wanawake

πŸ“Œ Asema Serikali itaendelea kuhakikisha kuwa wanapata haki na heshima wnayostahili πŸ“ŒAzindua Mpango kazi wa Kitaifa wa Ajenda ya Wanawake, Amani na Usalama πŸ“Œ Unalenga kushirikisha wanawake kikamilifu katika masuala ya Amani na Usalama πŸ“Œ Ataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kutokomeza dalili zinazoweza kuleta uvunjifu wa amani na usalama katika jamii πŸ“Œ Asema kuzinduliwa […]

Serikali yazindua Mpango wa Kitaifa Kuimarisha Haki na Usalama wa Wanawake Read More Β»

Nishati safi ya kupikia suluhu kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi

Watanzania wameendelea kuhamasishwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi. Wito huo umetolewa Agosti 18, 2025 Mkoani Rukwa na Mwakilishi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Florian Haule wakati wa ugawaji wa mitungi ya gesi ya kilogramu 15 pamoja na majiko ya sahani mbili kwa Watumishi

Nishati safi ya kupikia suluhu kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi Read More Β»

Wizara ya Nishati yajivunia utekelezaji wa miradi saba kati ya 17 nchini

πŸ“Œ Katibu Mkuu Nishati asema kati ya miradi hiyo saba, JNHPP imekamilika πŸ“Œ Asema EACOP imefikia asilimia 65 huku Serikali ya Tanzania  ikichangia  hisa za shilingi trilioni 1.12 πŸ“ŒRuhudji na Rumakali tafiti zakamilika Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba amesema kuwa katika miradi ya kimkakati inayotekelezwa nchini Wizara ya Nishati inatekeleza takribani

Wizara ya Nishati yajivunia utekelezaji wa miradi saba kati ya 17 nchini Read More Β»

Dk.Biteko azindua mradi utakaowakwamua vijana kiuchumi maeneo yanayopitiwa na EACOP

πŸ“Œ Unahusisha kuongezea vijana ujuzi, kuboresha upatikanaji wa huduma za kifedha, na kuondoa vikwazo vya ujasiriamali na ajira binafsi πŸ“Œ Ataka ujuzi unaotolewa kwa vijana uende sambamba na utoaji wa mitaji πŸ“Œ Awaasa Vijana kuchangamkia fursa na kuwa waaminifu wanapopata nafasi  πŸ“Œ Wanawake 6,130, Wanaume 4,905 na Makundi maalum 1,226 kufikiwa Naibu Waziri Mkuu na

Dk.Biteko azindua mradi utakaowakwamua vijana kiuchumi maeneo yanayopitiwa na EACOP Read More Β»

Miaka 5 ya uongozi madhubuti, uadilifu, unyenyekevu, maono na matokeo makubwa

MAARIFA MEDIA Leo inatoa pongezi kubwa kwa Ruth Zaipuna, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kwanza Mtanzania wa Benki ya NMB, kwa kutimiza miaka mitano kama Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB. Umekuwa muhimili Mkubwa kwenye sekta ya Benki nchini kupitia uwekezaji kwa watu, mageuzi ya kidijitali, utawala bora, miradi ya kijamii na kuongeza thamani ya

Miaka 5 ya uongozi madhubuti, uadilifu, unyenyekevu, maono na matokeo makubwa Read More Β»

Tanzania, Kenya, Uganda hatua moja mbele katika haki ya chakula

Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU), anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri, Profesa John Safari, amesema kumekuwa na mabadiliko chanya katika ushiriki wa vyama vya kijamii na vya ushirika vinavyolenga kuchangia upatikanaji wa haki ya chakula kwa wanawake, wanaume, vijana na watoto nchini Tanzania, Kenya na Uganda ifikapo mwaka 2027. Akizungumza mwishoni

Tanzania, Kenya, Uganda hatua moja mbele katika haki ya chakula Read More Β»

NMB Kijiji Day kuendelea kuelimisha jamii kuhusu usalama wa fedha vijijini

Benki ya NMB imeahidi kuendelea kutoa elimu ya fedha nchini ili kuzuia wananchi kuingia hasara kutokana na kuhifadhi fedha sehemu zisizo salama, ikiwemo kuzifukia ardhini, kuzihifadhi chini ya godoro au ndani ya nyumba. Akizungumza katika tamasha la NMB Kijiji Day lililofanyika Misongeni, Manispaa ya Morogoro, Meneja wa NMB Kanda ya Kati, Janeth Shango, alisema benki

NMB Kijiji Day kuendelea kuelimisha jamii kuhusu usalama wa fedha vijijini Read More Β»