Habari



Dkt. Biteko aweka Jiwe la Msingi Ujenzi Kiwanda cha Nguzo za Zege 📌Awataka wananchi Tabora kutogawanyika wakati Uchaguzi Mkuu 📌Asema maono ya Rais Samia ni viongozi kuwasaidia wananchi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa […]

 Read More »

Watesi wa Padri Kitima hawa hapa

Ilisemwa damu ya mtu haimwagiki bure, hata kabla jogoo hajawika, tayari waliohusika na kuvamiwa na kupigwa kwa Katibu Wa Baraza la Maaskofu (TEC) Padri Charles Kitima, wameanza kujitanabahisha na kuthibitisha nia yao ovu dhidi ya mama Tanzania. Kundi hilo lililolenga kuzua taharuki kubwa nchini, halikuridhishwa na taarifa fupi iliyotolewa jana na Baraza la Maaskofu kuhusu

Watesi wa Padri Kitima hawa hapa Read More »

Nyongeza ya mshahara yapokelewa kwa shangwe na wafanyakazi, Njombe

Na Happiness Shayo, Ludewa Wafanyakazi wilayani Ludewa, mkoani Njombe, wamepokea kwa shangwe na furaha nyongeza ya mshahara kwa watumishi wa umma, iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza katika maadhimisho Siku ya Wafanyakazi Duniani wilayani humo, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Balozi Pindi Chana, amesema Rais Samia

Nyongeza ya mshahara yapokelewa kwa shangwe na wafanyakazi, Njombe Read More »

NMB yadhamini na kushiriki Kilele cha Maadhimisho ya Mei Mosi Kitaifa Singida

Benki ya NMB imedhihirisha tena nafasi yake kama Mwajiri Kinara nchini kwa kudhamini na kushiriki kikamilifu katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yaliyofanyika kitaifa mkoani Singida. Maadhimisho hayo yamehudhuriwa na maelfu ya wafanyakazi kutoka sekta mbalimbali nchini, yakiwemo mashirika ya umma na binafsi, taasisi na vyama vya wafanyakazi, yakilenga kuenzi mchango wa

NMB yadhamini na kushiriki Kilele cha Maadhimisho ya Mei Mosi Kitaifa Singida Read More »

Rais Samia aongeza mishahara wa Wafanyakazi kwa asilimia 35.1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa Serikali itaongeza kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma kwa asilimia 35.1. Rais Dkt. Samia amesema kuwa Nyongeza hii itaanza kutumika Mwezi Julai 2025, itaongeza kima cha chini cha mshahara kutoka shilingi 370,000 hadi shilingi 500,000. Akizungumza Katika Kilele

Rais Samia aongeza mishahara wa Wafanyakazi kwa asilimia 35.1 Read More »

Serikali kutambulisha leseni mpya maalum ya uzalishaji chumvi

▪️📌Waziri Mavunde aelekeza mchakato wa mabadiliko ya sheria kuanza. ▪️📌Aelekeza kanuni kubadilishwa kupunguza tozo kwa hekta kufikia 20,000. ▪️📌Wazalishaji Chumvi wampongeza Rais Dkt. Samia S. Hassan kwa ujenzi wa kiwanda cha Chumvi Mkoani Lindi ▪️📌Serikali kuwezesha wazalishaji chumvi kumiliki viwanda vya kuchakata chumvi Dodoma Serikali ipo mbioni kutambulisha Leseni mpya ya uzalishaji wa chumvi ili

Serikali kutambulisha leseni mpya maalum ya uzalishaji chumvi Read More »