Serikali yazindua Mpango wa Kitaifa Kuimarisha Haki na Usalama wa Wanawake
π Asema Serikali itaendelea kuhakikisha kuwa wanapata haki na heshima wnayostahili πAzindua Mpango kazi wa Kitaifa wa Ajenda ya Wanawake, Amani na Usalama π Unalenga kushirikisha wanawake kikamilifu katika masuala ya Amani na Usalama π Ataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kutokomeza dalili zinazoweza kuleta uvunjifu wa amani na usalama katika jamii π Asema kuzinduliwa […]
Serikali yazindua Mpango wa Kitaifa Kuimarisha Haki na Usalama wa Wanawake Read More Β»