Habari

TANGA UWASA yaanza kuvuna matunda ya hatifungani ya kijani: Mabomba ya thamani ya bilioni 6.3 yakabidhiwa

Tanga, Tanzania – Hatimaye wakazi wa mikoa ya Tanga, Pangani, Muheza na Mkinga wananufaika moja kwa moja na matunda ya hati fungani ya kijani iliyotolewa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (TANGA UWASA), yenye thamani ya Shilingi Bilioni 53.12, ambayo ilianza kuuzwa rasmi tarehe 22 Februari 2024. Katika hatua kubwa ya […]

TANGA UWASA yaanza kuvuna matunda ya hatifungani ya kijani: Mabomba ya thamani ya bilioni 6.3 yakabidhiwa Read More »

Rais Samia alivyotoka ukumbini kupisha uchaguzi wa mgombea urais

Januari 19 2025, Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM, ulimchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuwa Mgombea Urais kupitia Chama hicho katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Tumekusogezea namna Dkt Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama hicho, alivyotoka nje ya Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma, kutii

Rais Samia alivyotoka ukumbini kupisha uchaguzi wa mgombea urais Read More »

PURA yashiriki ukaguzi na majaribio ya mtambo wa kuchimba visima vya gesi asilia

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeshiriki kazi ya ukaguzi na majaribio ya mtambo utakaotumika kuchimba visima vitatu vya gesi asilia katika Kitalu cha Mnazi Bay mkoani Mtwara. Ukaguzi huo ambao umefanyika katika Jimbo la Tianjin nchini China, umelenga kuhakiki uimara na ufanisi wa mtambo huo kabla ya kusafirishwa nchini Tanzania kwa

PURA yashiriki ukaguzi na majaribio ya mtambo wa kuchimba visima vya gesi asilia Read More »

CCM yatangaza mfumo wa QR Code kwa ajili ya uhakiki wa taarifa rasmi

CPA Amos Gabriel Makalla, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa – Itikadi, Uenezi na Mafunzo, ameuarifu umma wa Watanzania kuwa chama kimeanzisha matumizi ya QR Code maalum kwa ajili ya kusaidia wananchi kuhakiki na kutambua taarifa rasmi zinazotolewa na CCM. Hatua hii imechukuliwa ikiwa ni sehemu ya mapambano dhidi ya wimbi

CCM yatangaza mfumo wa QR Code kwa ajili ya uhakiki wa taarifa rasmi Read More »

Askari wawili washikiliwa tuhuma za kumuua mwananchi kwa risasi Dodoma

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia askari wake wawili kwa tuhuma za kumfyatulia risasi na kumsababisha kifo mwananchi aitwaye Frank Sanga, Julai 19, 2025, wakati wakiwa katika doria ya pikipiki katika eneo la Ntyuka, jijini Dodoma. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Agathon Hyrera, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo

Askari wawili washikiliwa tuhuma za kumuua mwananchi kwa risasi Dodoma Read More »

Tanzania yajipanga kwa Miss World 2027

Ulikuwa wakati munawari na mujarabu sana leo visiwani Zanzibar Rais, mwanamaono, kiongozi thabiti na mwanamageuzi asiyechoka Dk. @samia_suluhu_hassan alipozialika sekta mbili za @wizara_sanaatz na @wizarayamaliasilinautalii kushiriki mazungumzo na Kamati ya Mashindando ya Unyange Duniani (Miss World) waliofika nchini wakiwa na Rais wa Kamati hiyo Mama Julia Morley (CBE), Mnyange wa Dunia wa sasa @suchaaata na

Tanzania yajipanga kwa Miss World 2027 Read More »

Kiongozi Mbio za Mwenge ampongeza Rais Samia kampeni ya nishati safi ya kupikia

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Ali Ussi amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha maisha ya Watanzania kwa kupitia kampeni ya Nishati Safi ya Kupikia. Ussi ametoa pongezi hizo leo Julai 20, 2025 wilayani Mkalama, Mkoa wa Singida wakati akizindua mradi wa jiko linalotumia nishati safi ya kupikia katika shule

Kiongozi Mbio za Mwenge ampongeza Rais Samia kampeni ya nishati safi ya kupikia Read More »

Mchengerwa ataka kukamilika kwa ujenzi wa barabara Ukonga kwa wakati

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amemtaka mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Barabara ya Banana – Kitunda – Kivule – Msongola na Kivule – Majohe Junction, barabara za Kiwalani na Migombani kukamilika mradi huo kwa wakati bila kutoa visingizio vyovyote kwa kuwa tayari Serikali imeshamlipa fedha zote. Mchengerwa ametoa kauli hiyo jana wakati akikagua

Mchengerwa ataka kukamilika kwa ujenzi wa barabara Ukonga kwa wakati Read More »

Mradi wa uchimbaji Madini ya Urani kuongeza upatikanaji wa umeme nchini

▪️Kiasi cha tani milioni 139 ya mashapo ya urani yakadiriwa kuwapo,* ▪️Madini ya Urani kutumika kuzalishia umeme nchini ▪️ Rais Samia apongezwa kwa kuvutia uwekezaji ▪️Ujenzi wa kiwanda cha majaribio cha uchenjuaji wa Urani wakamilika ▪️Mradi kugharimu Trilioni 3.06 mpaka kukamilika kwake Namtumbo,Ruvuma Waziri wa Madini, Anthony Mavunde abainisha kuwa mradi wa kimkakati wa uchimbaji

Mradi wa uchimbaji Madini ya Urani kuongeza upatikanaji wa umeme nchini Read More »

Polisi Jamii Morogoro wawataka wamiliki wa kampuni za ulinzi kuwaajiri vijana

Morogoro, Julai 18, 2025Mkuu wa Polisi Jamii Mkoa wa Morogoro, ACP Samuel Kijanga, ametoa wito kwa wamiliki wa kampuni za ulinzi kuhakikisha wanaajiri vijana wenye nguvu na uwezo wa kiutendaji ili kuongeza ufanisi katika kazi ya ulinzi na usalama wa maeneo mbalimbali. ACP Kijanga ametoa kauli hiyo leo alipokutana na wamiliki wa kampuni 23 za

Polisi Jamii Morogoro wawataka wamiliki wa kampuni za ulinzi kuwaajiri vijana Read More »