Watangazaji wanne wa Mjini FM wapigwa marufuku na Bodi ya Ithibati
Dar es Salaam, Julai 18, 2025Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari imewachukulia hatua kali watangazaji wanne wa kituo cha redio cha Mjini FM kwa kosa la kufanya kazi za kihabari bila kusajiliwa na kukiuka maadili ya taaluma ya habari. Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, Bodi hiyo imesema kuwa watangazaji hao wamepigwa marufuku […]
Watangazaji wanne wa Mjini FM wapigwa marufuku na Bodi ya Ithibati Read More »