Tumieni nishati safi ya kupikia kulinda mazingira kwa vizazi vijavyo
Watanzania wameendelea kuhamasishwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kulinda mazingira kwa vizazi vijavyo. Wito huo umetolewa leo Julai 03, 2025 na Mjumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Lucas Malunde wakati wa hafla ya ugawaji wa mitungi ya gesi ya Kilogramu 15 pamoja na majiko ya sahani mbili kwa Watumishi 557 wa Jeshi la […]
Tumieni nishati safi ya kupikia kulinda mazingira kwa vizazi vijavyo Read More »