DAWASA miongoni mwa washiriki Mei Mosi Dar
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeungana na Taasis za Serikali na Binafsi katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika katika ngazi ya Mkoa katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam. Maadhimisho hayo yameongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Albert Chalamila, yalibeba […]
DAWASA miongoni mwa washiriki Mei Mosi Dar Read More »