Habari

IPRT, Msajili Hazina Zanzibar wasaini makubaliano uratibu wa tuzo za umahiri wa mawasiliano Zanzibar

Taasisi ya Uhusiano wa Umma Tanzania (IPRT) imesaini makubaliano na Msajili wa Hazina Zanzibar kwa ajili ya uratibu wa pamoja katika kuandaa tuzo za umahiri katika mawasiliano ya umma Zanzibar yaani ‘Zanzibar Communication Excellence Awards (ZCEA)’ zinazotarajiwa kufanyika Julai 5 mwaka huu visiwani humo. Hafla ya utiaji saini makubaliano hayo imefanyika mapema leo jijini Dar […]

IPRT, Msajili Hazina Zanzibar wasaini makubaliano uratibu wa tuzo za umahiri wa mawasiliano Zanzibar Read More »

Kamati ya Bunge yaipongeza PSSSF kwa usimamizi bora wa uwekezaji

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeupongeza Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) kwa usimamizi mzuri wa vitega uchumi vyake, ambavyo kwa sasa vinajiendesha kwa faida. Kauli hiyo imetolewa Machi 12, 2025, jijini Arusha na wajumbe wa kamati hiyo wakiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Fatma Taufiq, wakati wa ziara yao katika mradi wa

Kamati ya Bunge yaipongeza PSSSF kwa usimamizi bora wa uwekezaji Read More »

Tanzania, Urusi kushirikiana kuimarisha uhifadhi wa misitu kwa teknolojia za kisasa

Tanzania imeendelea kuimarisha ushirikiano wake na Urusi katika sekta ya misitu kwa lengo la kuboresha uhifadhi wa rasilimali zake kupitia teknolojia na mbinu za kisasa. Hayo yamejiri katika kikao kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk. Pindi  Chana na wataalamu wa misitu kutoka Urusi waliotembelea Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Dodoma jana

Tanzania, Urusi kushirikiana kuimarisha uhifadhi wa misitu kwa teknolojia za kisasa Read More »

Kapinga azindua namba ya bure ya huduma kwa wateja wa TANESCO

📌Awapongeza TANESCO kutekeleza agizo la Mhe. Dkt. Biteko kuwataka kuanzisha namba ya huduma kwa wateja bure 📌Asema namba hii ya 180 ya bure kwa wateja kuimarisha huduma kwa wateja na kutatua changamoto zao 📌Awaagiza Mameneja wa Mikoa na wilaya wa TANESCO kuwasimamia watoa huduma 📌Awaasa watanzania kutumia namba hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa na si vinginevyo

Kapinga azindua namba ya bure ya huduma kwa wateja wa TANESCO Read More »

SICPA Tanzania yathibitisha dhamira yake kwa jamii kwa kutoa msaada kwa wagonjwa wa saratani

SICPA Tanzania, kampuni ya teknolojia inayoiwezesha Serikali ya Tanzania kuthibitisha na kulinda rasilimali zake kupitia mifumo ya uthibitishaji wa usalama, inaendelea kuthibitisha dhamira yake ya kusaidia jamii kupitia mpango wa Uwajibikaji wa Kampuni kwa Jamii (CSR). Kampuni hiyo inatambua kuwa mafanikio ya biashara yanapaswa kwenda sambamba na kutoa mchango kwa jamii, hasa kwa makundi yenye

SICPA Tanzania yathibitisha dhamira yake kwa jamii kwa kutoa msaada kwa wagonjwa wa saratani Read More »

ATE, Sightsavers International wazindua Mtandao Uwezeshaji Watu wenye Ulemavu Mahali pa Kazi

Akizungumza katika uzinduzi huo leo, Mtendaji Mkuu wa ATE,Suzanne Ndomba-Doran, amesisitiza kuwa ushirikiano kati ya serikali, waajiri, na mashirika mbalimbali ni muhimu katika kuhakikisha fursa sawa za ajira. Ndomba-Doran ameeleza kuwa ATE kwa kushirikiana na Sightsavers International inatekeleza mradi wa kuwawezesha watu wenye ulemavu kiuchumi, huku ikiwahamasisha waajiri kuandaa mazingira jumuishi.  Katika mradi huo, waajiri

ATE, Sightsavers International wazindua Mtandao Uwezeshaji Watu wenye Ulemavu Mahali pa Kazi Read More »

Verified by MonsterInsights