Wabunge wapigwa msasa PSSSF Kidijitali
WAJUMBE wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, wamepatiwa mafunzo ya namna Mfumo wa utoaji huduma kupitia mtandao PSSSF Kidijitali unavyofanya kazi. Mafunzo hayo ambayo pia yalihudhuriwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete, yamefanyika Februari 12, 2025 kwenye majengo ya […]
Wabunge wapigwa msasa PSSSF Kidijitali Read More »