NEMC yatahadharisha watu maeneo ya bahari na fukwe
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewataka wananchi kuchukua tahadhari za kuepuka maeneo ya fukwe za bahari pamoja na miamba ya maziwa na mito ili kujinusuru na mafuriko na athari zake wakati wa mvua kubwa zinazotarajiwa kuanza hivi karibuni. Pia NEMC imezitaka Mamlaka za Serikali za Serikali za Mitaa hususan Jiji […]
NEMC yatahadharisha watu maeneo ya bahari na fukwe Read More »