Habari

Arusha Jiji wazindua mitambo maalum, kukarabati barabara za mitaa yote 154

Na Getrude Mpezya.ARUSHA Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Maxmillian Iranqhe amezindua mitambo maalum ya kukarabati Barabara za mitaa 154 na malori mawili mapya. Wakati wa uzinduzi huo,Iranqhe mbele ya Wananchi wa Jiji la Arusha ameelekeza Kila Kata kukabidhiwa shilingi Milioni 4, kwaajili ya manunuzi ya vifusi vya kujengea barabara hizo, ikiwa ni fedha baki […]

Arusha Jiji wazindua mitambo maalum, kukarabati barabara za mitaa yote 154 Read More »

Jumuiya ya Ismaili Tanzania yazindua Fanoos, alama ya umoja na urithi

Jumuiya ya Shia Imami Ismaili nchini Tanzania imezindua Fanoos katika Jamatkhana ya kihistoria ya Upanga, hafla iliyokuwa sehemu ya mpango wa Global Encounters. Fanoos, taa ya mfano inayowakilisha mwanga, matumaini, na umoja, imekuwa ikisafiri katika nchi mbalimbali, ikionyesha mshikamano miongoni mwa jamii ya Ismaili duniani kote. Kuwasili kwake Tanzania kuna umuhimu maalum, ukidhihirisha uhusiano wa

Jumuiya ya Ismaili Tanzania yazindua Fanoos, alama ya umoja na urithi Read More »

Verified by MonsterInsights