Waziri wa SMZ atembelea banda la PSSSF Nanenane Zanzibar
Waziri wa Maji, Nishati na Madini wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Shaib Kaduara ametembelea banda la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) kwenye Maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Dole Kizimbani, Zanzibar na kuelezwa namna ambayo sasa wanachama wanapata huduma za Mfuko zote kupitia simu janja. Akitoa maelezo kwa Kaduara, […]
Waziri wa SMZ atembelea banda la PSSSF Nanenane Zanzibar Read More »