Thursday, March 5, 2026
spot_img
HomeHabariJaji Warioba: Vyama vya upinzani havikujipanga

Jaji Warioba: Vyama vya upinzani havikujipanga

“Nilimuuliza kiongozi mmoja wa upinzani. Je, kweli mnategemea nini? Akaniambia walikuwa wamefanya utafiti. Matokeo yake tuliyoonyeshwa tukijitahidi sana upinzani kwenye uchaguzi wowote unaokuja hatutazidi asilimia 25. Wakijua kwamba wao kwa wakati huu hawana uwezo wa kuweza kutoa ushindani mkubwa,”Waziri Mkuu mstaafu Jaji Sinde Warioba.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments