
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu amejiandikisha kupiga kura kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kijiji cha Ngalinje, Kata ya Mchangani Wilayani Tunduru.



Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu amejiandikisha kupiga kura kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kijiji cha Ngalinje, Kata ya Mchangani Wilayani Tunduru.