
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu amejiandikisha kupiga kura kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kijiji cha Ngalinje, Kata ya Mchangani Wilayani Tunduru.




Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu amejiandikisha kupiga kura kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kijiji cha Ngalinje, Kata ya Mchangani Wilayani Tunduru.



Maarifa Online Media ni chombo huru cha habari mtandaoni kinachotoa taarifa sahihi na za kuaminika kuhusu siasa, uchumi, jamii, michezo, elimu, afya na teknolojia. Tumejikita kwenye uwazi, weledi na uwajibikaji ili kuwafikishia wananchi habari bora na zenye mvuto kupitia tovuti na mitandao ya kijamii.
© 2025. Maarifa Online Media. All RIghts Reserved.


