Maelfu ya wanachama, wafuasi na mashabiki wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiwa katika shamrashamra za uzinduzi wa kampeni za mgombea wa Urais wa chama hicho, Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, zinazofanyika katika Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe, jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi, Agosti 28, 2025.










