Tuesday, March 3, 2026
spot_img
HomeHabariMajaliwa akutana na wajumbe wa Tume ya Rais ya Marekebisho ya kodi

Majaliwa akutana na wajumbe wa Tume ya Rais ya Marekebisho ya kodi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Januari 20, 2025 amekutana na wajumbe wa Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma.

Wajumbe hao waliongozwa na mwenyekiti wa tume hiyo Balozi Ombeni Sefue.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments