Mbowe: Hatma yangu ipo mikononi mwa wanachadema

“Watakaoniambia Mbowe ondoka ni wanachadema hawa, watakaoniambia Mbowe gombea ni wanachadema hawa na viongozi wangu. Tutaelewana mambo yetu ya ndani yanawahusu nini? mie nashangaa tu mitandaoni yaani pilipili usizokula za kuwashia nini” Feeman Mbowe-Mwenyekiti wa Chadema Taifa.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *