Wednesday, March 11, 2026
spot_img
HomeHabariMbowe: Kusema Chadema hatukuwa na maandalizi ya uchaguzi ni mitazamo yetu wanasiasa

Mbowe: Kusema Chadema hatukuwa na maandalizi ya uchaguzi ni mitazamo yetu wanasiasa

“Kauli za ndani kwamba hakuna maandalizi, sikilizeni Jamani acheni kudakia vitu vidogo vidogo yaani vile vya uchimvi uchimvi. Inawezekana kila mmoja ana mtazamo tofauti, hiki ni Chama cha Siasa kuna watu wenye mitazamo tofauti lakini kuna maeneo tunakubaliana na kuna maeneo tunaweza tukabishana, na huo ndiyo ubinadamu wenyewe” Feeman Mbowe-Mwenyekiti wa Chadema Taifa.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments