Mbowe: Kusema Chadema hatukuwa na maandalizi ya uchaguzi ni mitazamo yetu wanasiasa

“Kauli za ndani kwamba hakuna maandalizi, sikilizeni Jamani acheni kudakia vitu vidogo vidogo yaani vile vya uchimvi uchimvi. Inawezekana kila mmoja ana mtazamo tofauti, hiki ni Chama cha Siasa kuna watu wenye mitazamo tofauti lakini kuna maeneo tunakubaliana na kuna maeneo tunaweza tukabishana, na huo ndiyo ubinadamu wenyewe” Feeman Mbowe-Mwenyekiti wa Chadema Taifa.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *