Mbowe mivutano kwenye mazungumzo ya kisiasa ni jambo lisilokwepeka

“Kila siku mnazungumza mnadanganywa, ni hivi mazungumzo katika mambo ya Kijamii upende usipende ni future ya lazima. Niwape mfano kule mashariki ya kati Israel wanapigana na Palestina na kwingineko na mamia ya watu wanauwawa lakini ni wangapi mnajua vita inapoendelea kule nchini QATAR-DOHA kuna mazungumzo ya kutafuta amani yanaendelea?” Feeman Mbowe-Mwenyekiti wa Chadema Taifa.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *