Michezo

Cristian Romero na akerwa kichapo Spurs

MLINZI wa Tottenham Hotspur, Cristian Romero, alionekana kukerwa na maandalizi ya klabu hiyo kwa kushindwa na Arsenal Jumapili katika chapisho lililosambazwa kwenye mitandao ya kijamii. Romero alicheza kwa dakika 90 kwenye mchezo huo mgumu, ambao Spurs walionekana kuutawala kwenye karatasi za takwimu, lakini hawakufanikiwa kupata bao, ila hakuweza kuzuia bao la kichwa la Gabriel kipindi […]

Cristian Romero na akerwa kichapo Spurs Read More »

Tanzania Ladies Open Golf Tournament 2024 yahitimishwa Arusha, NBC yaahidi maboresho zaidi

Mashindano ya siku tatu ya Gofu ya Tanzania Ladies Open Golf Tournament yamehitimswa mwishoni mwa wiki jijini Arusha huku wadhamini wakuu wa mashindano hayo, Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakiahidi kuendelea kuyaboresha zaidi mashindano hayo ili kuyoangozea ubora na ushindani utakaowavutia zaidi washiriki kutoka ndani na nje ya nchi. Mashindano hayo ya siku tatu

Tanzania Ladies Open Golf Tournament 2024 yahitimishwa Arusha, NBC yaahidi maboresho zaidi Read More »

Waziri Ndumbaro atangaza fursa lukuki kwenye tamasha la tatu la utamaduni

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro ameeleza kuwa, Tamasha la tatu la Utamaduni la Kitaifa Songea litatoa fursa lukuki kwa wakazi wa mkoa wa Ruvuma na mikoa ya jirani katika nyanja za kibiashara, bidhaa za asili, vyakula, malazi, usafiri na litaambatana na mafunzo, semina na midahalo mbalimbali kuhusu Sekta za Utamaduni, Sanaa

Waziri Ndumbaro atangaza fursa lukuki kwenye tamasha la tatu la utamaduni Read More »

NBC yashiriki mbio za Ruangwa Marathon, yasisitiza dhamira yake kuchochea ukuaji sekta ya michezo nchini

Benki ya Taifa ya Biashara NBC imeshiriki msimu wa pili wa mbio za Ruangwa Marathon 2024 huku ikisisitiza  dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono jitihada mbalimbali za wadau wa michezo nchini kupitia ushiriki, ufadhili, ubunifu na utoaji wa huduma mbalimbali zikiwemo za kifedha mahususi kwa wadau wa sekta hiyo. Dhamira ya benki hiyo ni sehemu

NBC yashiriki mbio za Ruangwa Marathon, yasisitiza dhamira yake kuchochea ukuaji sekta ya michezo nchini Read More »