Sunday, November 9, 2025
spot_img
HomeMichezoMfaume Mfaume: Nitampiga Mmalawi Dar Boxing Derby

Mfaume Mfaume: Nitampiga Mmalawi Dar Boxing Derby

Bondia Mfaume Mfaume amesema yuko tayari kwa pambano dhidi ya Kudakwache Banda kutoka Malawi litakalofanyika Julai 26 kwenye viwanja vya Leaders, Dar es Salaam.

Mfaume alisema licha ya mpinzani wake kuwa wa kimataifa, ana imani kubwa ya kushinda kutokana na maandalizi yake.

Amepongeza serikali kuruhusu kurushwa kwa ngumi kupitia Azam TV na kuwasihi vijana kujiingiza katika mchezo huo kwa kuwa ni chanzo cha ajira.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments