Bacca aweka rekodi ya ufungaji kwa mabeki Ligi Kuu Bara
Ibrahim Hamad ‘Bacca’, beki wa kati wa Yanga SC, ameibuka kinara wa mabeki wafungaji kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kupachika mabao mawili dhidi ya Prisons katika ushindi wa mabao 4-0 kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Mabao hayo, aliyofunga dakika ya 42 na 83, yalimfikisha jumla ya mabao manne msimu huu, […]
Bacca aweka rekodi ya ufungaji kwa mabeki Ligi Kuu Bara Read More »