Michezo

Vijana wa Kitanzania Kuwezeshwa kupitia Vodacom Youth Base (VYB), kuongeza fursa katika za kidijitali

Vodacom Tanzania Plc imezindua Vodacom Youth Base (VYB), kampeni bunifu inayolenga kuwawezesha vijana wa Kitanzania wenye umri kati ya miaka 15 na 28, ili waweze kufikia mtindo wa maisha wa kidijitali. Jukwaa la Vodacom Youth Base (VYB) linakuja na faida mbalimbali ikiwemo, jumbe fupi za bure (SMS), punguzo la vifaa vya kielectroniki kama vile simujanja

Vijana wa Kitanzania Kuwezeshwa kupitia Vodacom Youth Base (VYB), kuongeza fursa katika za kidijitali Read More »

TFF : Taifa Stars imefuzu CHAN

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema hata kama Timu ya Taifa (Taifa Stars itafungwa na Sudan, itashiriki fainali za Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), kwa sababu ni wenyeji wa michuano hiyo. Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Clifford Ndimbo, amebainisha hayo baada ya mashabiki kuonekana kutoelewa nafasi ya Stars endapo itapata

TFF : Taifa Stars imefuzu CHAN Read More »

Mashindano Baiskeli Shinyanga sasa yanukia kuwa ya kimataifa 

BAADA ya kufanyika kwa mafanikio kwa misimu mitano sasa, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha, ameishauri Benki ya CRDB kuyapandisha hadhi mashindano ya Baiskeli Shinyanga kuwa ya kimataifa. Macha alitoa ushauri huo kwenye mashindano ya mbio hizo yaliyofanyika mwishoni mwa wiki yakijumuisha wakimbiaji kutoka mikoa yote ya Kanda ya Ziwa na maeneo mengine nchini.

Mashindano Baiskeli Shinyanga sasa yanukia kuwa ya kimataifa  Read More »

Makamu wa Rais kushiriki Tigo Z’bar Marathon 2024

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, anatarajiwa kushiriki mbio za Tigo Zanzibar Marathon 2024, zitakazofanyika mwezi ujao visiwani humo. Aidha, amepongeza waandaaji wa mbio hizo ambazo amezitaja zinaunganisha watu. “Binafsi napenda sana kushiriki katika mbio hizi, zinawaleta watu pamoja na kushiriki katika kujenga afya, nawapongeza sana waandaaji na wadhamini wa mbio

Makamu wa Rais kushiriki Tigo Z’bar Marathon 2024 Read More »