Fountain Gate yaweka kambi Morogoro, yafuta saba
Fountain Gate imetangaza kambi ya maandalizi ya msimu mpya kufanyika Morogoro. Klabu hiyo ilinusurika kushuka daraja baada ya kushinda mechi ya mchujo dhidi ya Stand United kwa jumla ya mabao 5-2. Klabu hiyo yenye makazi yake Babati, Manyara, pia imeachana na wachezaji saba, akiwemo kiungo nyota Salum Kihimbwa, ambaye tayari amejiunga na Mashujaa FC. Wengine […]
Fountain Gate yaweka kambi Morogoro, yafuta saba Read More »