Rais Samia amwaga milioni 700 kwa wachezaji Taifa Stars
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa zawadi ya Sh Milioni 700 kwa timu ya Taifa (Taifa Stars), kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wageni wao Guinea, katika mchezo wa mwisho wa kuwania kufuzu fainali za AFCON mwaka 2025. Katika mchezo huo uliochezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Stars […]
Rais Samia amwaga milioni 700 kwa wachezaji Taifa Stars Read More »