Michezo

Timu ya Tenisi ya Walemavu yaandaa mikakati ya kufuzu Kombe la Dunia

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya tenisi kwa walemavu, Riziki Salum, ametangaza kuwa maandalizi ya mashindano ya kuwania tiketi ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia yameanza rasmi. Mashindano hayo ya kufuzu kwa mataifa ya Afrika yatafanyika Februari 2-25 mwakani nchini Morocco. Salum amesema timu hiyo inalenga kuunda kikosi imara kupitia mashindano ya maandalizi

Timu ya Tenisi ya Walemavu yaandaa mikakati ya kufuzu Kombe la Dunia Read More »

Punguzo maalum la usajili Kilimanjaro International Marathon linakaribia kumalizika

Wakati siku za tukio la mbio za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager Marathon kwa mwaka wa 2025, zikikaribia washiriki wamekumbushwa kuwa muda wa punguzo la bei kwa ajili ya usajili huo unakaribia kumalizika. Taarifa iliyotolewa na waandaaji wa hafla hiyo ambayo imekuwa maarufu Barani Afrika, imesema kuwa muda wa punguzo la hilo unatarajiwa kumalizika ifikapo

Punguzo maalum la usajili Kilimanjaro International Marathon linakaribia kumalizika Read More »

Vijana wa Kitanzania Kuwezeshwa kupitia Vodacom Youth Base (VYB), kuongeza fursa katika za kidijitali

Vodacom Tanzania Plc imezindua Vodacom Youth Base (VYB), kampeni bunifu inayolenga kuwawezesha vijana wa Kitanzania wenye umri kati ya miaka 15 na 28, ili waweze kufikia mtindo wa maisha wa kidijitali. Jukwaa la Vodacom Youth Base (VYB) linakuja na faida mbalimbali ikiwemo, jumbe fupi za bure (SMS), punguzo la vifaa vya kielectroniki kama vile simujanja

Vijana wa Kitanzania Kuwezeshwa kupitia Vodacom Youth Base (VYB), kuongeza fursa katika za kidijitali Read More »