Sunday, November 9, 2025
spot_img
HomeMichezoBaraza aahidi Pamba Jiji isiyopoteza nyumbani

Baraza aahidi Pamba Jiji isiyopoteza nyumbani

Kocha mpya wa Pamba Jiji, Francis Baraza, ameahidi kuifanya timu hiyo iwe ngumu kufungwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.

Amesema amewahi kufanya hivyo akiwa na Biashara United na Dodoma Jiji.

Baraza amerithi mikoba ya Fred Minziro aliyeondolewa hivi karibuni.

Pamba Jiji pia imeanza kuimarisha kikosi kwa kusajili wachezaji akiwemo Kabaso Chongo, Nicolaus Gyan, na Umar Abba kutoka Rwanda.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments