Michezo

TPLB yajipanga kwa msimu mpya

Bodi ya Ligi (TPLB) imesema ipo kwenye maandalizi ya msimu wa 2025/2026 kwa lengo la kuboresha zaidi ligi, baada ya mafanikio ya msimu uliopita. Kaimu Mtendaji Mkuu wa TPLB, Ibrahim Mwayela, amesema wanaendelea kupokea maoni ya wadau kuhusu kanuni mpya za ligi hadi Ijumaa, huku wakikamilisha kalenda ya matukio yote ya msimu. Amezitaka klabu za

TPLB yajipanga kwa msimu mpya Read More »

NMB yakabidhi vifaa vya michezo kwa BAMMATA kuelekea michezo ya majeshi Zanzibar

Benki ya NMB imekabidhi msaada wa vifaa vya michezo kwa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) kwa ajili ya maandalizi ya michezo ya majeshi inayotarajiwa kuanza Septemba 6 jijini Zanzibar. Msaada huo umekabidhiwa na Meneja Biashara wa Benki ya NMB Zanzibar, Naima Said Shaame, kwa Mwenyekiti wa BAMMATA, Brigedia Jenerali Saidi Hamis Saidi, katika

NMB yakabidhi vifaa vya michezo kwa BAMMATA kuelekea michezo ya majeshi Zanzibar Read More »

Mbeya City yamnasa nahodha wa Tabora United, yaacha wachezaji 9

Mbeya City imemsajili beki wa kati na nahodha wa Tabora United, Kingu Kelvin Pemba, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha kikosi kilichopanda Ligi Kuu Tanzania Bara. Klabu hiyo pia ilimsajili beki Ibrahim Ame kutoka Mashujaa FC na kuongeza mikataba kwa washambuliaji Eliud Ambokile na Baraka Maranyingi. Wachezaji 9 wakiwemo Kilaza Mazoea, Pius Joseph, Jeremiah Thomas, Fred

Mbeya City yamnasa nahodha wa Tabora United, yaacha wachezaji 9 Read More »

Serikali yazindua mfumo wa kidigitali wa kuuza jezi za Taifa Stars

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’, amezindua rasmi mfumo wa mauzo ya jezi za timu ya Taifa (Taifa Stars) kwa njia ya mtandao. Mfumo huo unaolenga kuongeza upatikanaji wa jezi hizo kuelekea mashindano ya CHAN, unatekelezwa kwa ushirikiano wa Benki ya NBC, Vodacom na kampuni ya Sandalan. Mwana FA alihamasisha

Serikali yazindua mfumo wa kidigitali wa kuuza jezi za Taifa Stars Read More »