Gamondi na yeye alia na uwanja, waamuzi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, ameulalamikia Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha, akisema hauko kwenye ubora, huku akisema viwanja vitatu tu vinavyobeba taswira ya soka la Tanzania ni ule wa Benjamin Mkapa, Azam Complex, ambavyo vyote vipo, Dar es Salaam na New Amaan Complex, Zanzibar. Akizungumza baada ya kumalizika kwa mchezo wa Ligi […]
Gamondi na yeye alia na uwanja, waamuzi Read More »