Michezo

Che Malone: Tutalipa kisasi

BEKI wa kati wa Simba, Che Malone Fondoh, amesema kupoteza mchezo dhidi ya Yanga kumewaumiza lakini wanaamini zamu yao ya kufurahi haipo mbali kwa sababu kikosi chao kinaendelea kuimarika. Malone, aliliambia gazeti hili viwango vya wachezaji wa Simba vinazidi ‘kupanda’ na anaamini mechi ya marudiano dhidi ya Yanga watapata ushindi. “Mchezo dhidi ya Yanga umepita,

Che Malone: Tutalipa kisasi Read More »

Mabondia wajazwa pesa KnockoutyaMAMA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo, pamoja na viongozi mbalimbali na mashabiki wa ndondi wakifuatilia mapambano yanayoendelea muda huu kwenye ukumbi wa City Centra Hall Magomeni Jijini Dar Es Salaam. Usiku wa KNOCKOUT YA MAMA utawakutanisha mabondia kutoka nchi za Ghana, Uganda, South African, Tanzania na Angola wanatarajia kuchuana katika usiku huu

Mabondia wajazwa pesa KnockoutyaMAMA Read More »

Benki ya NBC yaipamba Mzizima Derby Zanzibar, yakabidhi tuzo, fedha kwa mchezaji na kocha bora wa Agosti

Zanzibar: Septemba 27, 2024 – Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara, NBC Premiere League jana iliipamba mechi kati ya Azam FC na Simba SC maarufu kama ‘Mzizima Derby’ kwa kuandaa matukio kadhaa ikiwemo kukabidhi zawadi ya tuzo na pesa taslimu kwa mchezaji na kocha bora

Benki ya NBC yaipamba Mzizima Derby Zanzibar, yakabidhi tuzo, fedha kwa mchezaji na kocha bora wa Agosti Read More »

Benki ya NMB yaongeza mzuka Mashindano ya SHIMIWI

Michezo ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali Tanzania (SHIMIWI) imefunguliwa rasmi kuzikutanisha timu zinazowajumuisha watumishi wa serikali kutoka kwenye wizara, taasisi, wakala za serikali, ofisi za wakuu wa mikoa, halmashauri, pamoja na manispaa. .Uzinduzi huu umefanywa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Dotto Biteko aliyeambatana na Naibu Waziri

Benki ya NMB yaongeza mzuka Mashindano ya SHIMIWI Read More »