Michezo

NMB waipiga tafu mashindano ya Kimataifa ya Diplomatic Golf

Benki ya NMB imefanikiwa kukabidhi udhamini wa vifaa vya michezo kwa ajili ya wachezaji 150 wanaotarajia kushiriki mashindano ya kimataifa ya Diplomatic Golf 2024. Michuano hiyo inayotarajia kuanza kutimua vumbi kwa siku mbili kuanzia Septemba 21-22, 2024 katika viwanja vya Kili Golf vilivyoko Mkoani Arusha yana lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watoto […]

NMB waipiga tafu mashindano ya Kimataifa ya Diplomatic Golf Read More »

Kariakoo Festival yafunguliwa, NMB yaahidi udhamini mnono zaidi 2025

MDHAMINI Mkuu wa Tamasha la Kariakoo ‘Kariakoo Festival 2024,’ Benki ya NMB, imeahidi maboresho na udhamini mnono zaidi wa tamasha hilo linalofanyika kwa wiki moja katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam kuanzia Jumanne ya Septemba 17 lilipofunguliwa.  Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Dk. Toba Nguvila, ndiye aliyefungua tamasha hilo, linalowakutanisha

Kariakoo Festival yafunguliwa, NMB yaahidi udhamini mnono zaidi 2025 Read More »

Tanzania Ladies Open Golf Tournament 2024 yahitimishwa Arusha, NBC yaahidi maboresho zaidi

Mashindano ya siku tatu ya Gofu ya Tanzania Ladies Open Golf Tournament yamehitimswa mwishoni mwa wiki jijini Arusha huku wadhamini wakuu wa mashindano hayo, Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakiahidi kuendelea kuyaboresha zaidi mashindano hayo ili kuyoangozea ubora na ushindani utakaowavutia zaidi washiriki kutoka ndani na nje ya nchi. Mashindano hayo ya siku tatu

Tanzania Ladies Open Golf Tournament 2024 yahitimishwa Arusha, NBC yaahidi maboresho zaidi Read More »

Waziri Ndumbaro atangaza fursa lukuki kwenye tamasha la tatu la utamaduni

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro ameeleza kuwa, Tamasha la tatu la Utamaduni la Kitaifa Songea litatoa fursa lukuki kwa wakazi wa mkoa wa Ruvuma na mikoa ya jirani katika nyanja za kibiashara, bidhaa za asili, vyakula, malazi, usafiri na litaambatana na mafunzo, semina na midahalo mbalimbali kuhusu Sekta za Utamaduni, Sanaa

Waziri Ndumbaro atangaza fursa lukuki kwenye tamasha la tatu la utamaduni Read More »

NBC yashiriki mbio za Ruangwa Marathon, yasisitiza dhamira yake kuchochea ukuaji sekta ya michezo nchini

Benki ya Taifa ya Biashara NBC imeshiriki msimu wa pili wa mbio za Ruangwa Marathon 2024 huku ikisisitiza  dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono jitihada mbalimbali za wadau wa michezo nchini kupitia ushiriki, ufadhili, ubunifu na utoaji wa huduma mbalimbali zikiwemo za kifedha mahususi kwa wadau wa sekta hiyo. Dhamira ya benki hiyo ni sehemu

NBC yashiriki mbio za Ruangwa Marathon, yasisitiza dhamira yake kuchochea ukuaji sekta ya michezo nchini Read More »