Michezo

Mabondia wajazwa pesa KnockoutyaMAMA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo, pamoja na viongozi mbalimbali na mashabiki wa ndondi wakifuatilia mapambano yanayoendelea muda huu kwenye ukumbi wa City Centra Hall Magomeni Jijini Dar Es Salaam. Usiku wa KNOCKOUT YA MAMA utawakutanisha mabondia kutoka nchi za Ghana, Uganda, South African, Tanzania na Angola wanatarajia kuchuana katika usiku huu

Mabondia wajazwa pesa KnockoutyaMAMA Read More »

Benki ya NBC yaipamba Mzizima Derby Zanzibar, yakabidhi tuzo, fedha kwa mchezaji na kocha bora wa Agosti

Zanzibar: Septemba 27, 2024 – Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara, NBC Premiere League jana iliipamba mechi kati ya Azam FC na Simba SC maarufu kama ‘Mzizima Derby’ kwa kuandaa matukio kadhaa ikiwemo kukabidhi zawadi ya tuzo na pesa taslimu kwa mchezaji na kocha bora

Benki ya NBC yaipamba Mzizima Derby Zanzibar, yakabidhi tuzo, fedha kwa mchezaji na kocha bora wa Agosti Read More »

Benki ya NMB yaongeza mzuka Mashindano ya SHIMIWI

Michezo ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali Tanzania (SHIMIWI) imefunguliwa rasmi kuzikutanisha timu zinazowajumuisha watumishi wa serikali kutoka kwenye wizara, taasisi, wakala za serikali, ofisi za wakuu wa mikoa, halmashauri, pamoja na manispaa. .Uzinduzi huu umefanywa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Dotto Biteko aliyeambatana na Naibu Waziri

Benki ya NMB yaongeza mzuka Mashindano ya SHIMIWI Read More »

NMB waipiga tafu mashindano ya Kimataifa ya Diplomatic Golf

Benki ya NMB imefanikiwa kukabidhi udhamini wa vifaa vya michezo kwa ajili ya wachezaji 150 wanaotarajia kushiriki mashindano ya kimataifa ya Diplomatic Golf 2024. Michuano hiyo inayotarajia kuanza kutimua vumbi kwa siku mbili kuanzia Septemba 21-22, 2024 katika viwanja vya Kili Golf vilivyoko Mkoani Arusha yana lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watoto

NMB waipiga tafu mashindano ya Kimataifa ya Diplomatic Golf Read More »

Kariakoo Festival yafunguliwa, NMB yaahidi udhamini mnono zaidi 2025

MDHAMINI Mkuu wa Tamasha la Kariakoo ‘Kariakoo Festival 2024,’ Benki ya NMB, imeahidi maboresho na udhamini mnono zaidi wa tamasha hilo linalofanyika kwa wiki moja katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam kuanzia Jumanne ya Septemba 17 lilipofunguliwa.  Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Dk. Toba Nguvila, ndiye aliyefungua tamasha hilo, linalowakutanisha

Kariakoo Festival yafunguliwa, NMB yaahidi udhamini mnono zaidi 2025 Read More »