Michezo

Namungo yapata mbadala wa Nyoni

Klabu ya Namungo ipo kwenye mazungumzo ya kumchukua beki Jackson Shiga kutoka Fountain Gate ili kuziba nafasi ya Erasto Nyoni aliyeachwa na timu hiyo. Shiga alijiunga na Fountain Gate msimu uliopita akitokea Coastal Union. Aidha, Namungo tayari imewasajili Abdallah Mfuko kutoka Kagera Sugar na Hussein Kazi wa Simba kuchukua nafasi ya Derrick Mukombozi (Burundi) aliyeachwa

Namungo yapata mbadala wa Nyoni Read More »

Kampuni ya YAS yatangaza udhamini wa Ndondo Cup 2025, yazindua Kampeni ya “Anzia Ulipo”

Dar es Salaam Katika msimu mpya wa mashindano maarufu ya soka kwa vijana wa mitaani, Ndondo Cup, kampuni ya mawasiliano ya YAS imetangaza rasmi kuwa mdhamini mkuu wa toleo la mwaka 2025 — hatua iliyopokelewa kwa hamasa kubwa na wadau wa michezo kote nchini. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa udhamini huo, Robert Kasulwa, Mkurugenzi wa

Kampuni ya YAS yatangaza udhamini wa Ndondo Cup 2025, yazindua Kampeni ya “Anzia Ulipo” Read More »

Singida yaachana na Adebayor, Diomande achukua nafasi

Singida Black Stars imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Idrissa Diomande kutoka Zoman FC ya Ivory Coast, kuchukua nafasi ya Victorien Adebayor, ambaye ameondoka baada ya msimu mmoja. Kocha Miguel Gamondi amependekeza mabadiliko hayo kuelekea msimu mpya ambapo Singida itashiriki Kombe la Shirikisho Afrika. Mbali na Adebayor, wachezaji wengine walionyeshwa mlango wa kutokea ni Emmanuel Lobota

Singida yaachana na Adebayor, Diomande achukua nafasi Read More »