Historia yaandikwa, Mkanda wa IBA wabaki Tanzania
Historia imeandikwa Tanzania, baada ya Mkanda mwingine kubakia katika Ardhi ya Tanzania ambaoo Bondia Said Mohamed maarufu kama Said Chino kuwa bingwa mpya wa IBA Intercontinental Championship kwa kumchapa mpinzani wake raia wa Afrika Kusini Lusanda Komanisa kwa pointi. Said Chino ameshinda pambani hilo kwa point kutoka kwa majaji wote watatu Kwa ushindi huo Said […]
Historia yaandikwa, Mkanda wa IBA wabaki Tanzania Read More »