Tuesday, December 16, 2025
spot_img
HomeHabariMke wa Dk Nchimbi amuombea kura Samia, wabunge Tanga

Mke wa Dk Nchimbi amuombea kura Samia, wabunge Tanga

Mke wa Mgombea mwenza wa CCM, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi Mama Jane Nchimbi akimuombea kura Dk. Samia, wabunge Tanga, leo Jumatatu Septemba 15, 2025 katika Uwanja wa Mazoezi Mjini Korogwe, Tanga.

Mama Jane Nchimbi ni mwenyeji wa Korogwe alipata fursa hiyo wakati Dk Nchimbi alipokuwa akiendelea na ziara ya kusaka kura mkoani humo.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments