Saturday, March 14, 2026
spot_img
HomeHabariMtaka: Tumekuja kuonesha mafanikio ya serikali ya CCM

Mtaka: Tumekuja kuonesha mafanikio ya serikali ya CCM

“Sisi kama serikali tunapata fursa leo ya kuonyesha kwa wenye duka. Maana yake CCM ndio wenye duka. Tunakuja kuonyesha kwamba imani tuliyopewa sisi kama serikali kutekeleza mambo moja, mbili, tatu tumeyatekeleza. Ni fursa nzuri kwa wana CCM, wanachama, wapenzi na wakereketwa, kuwaonyesha Watanzania kwamba tuliahidi miaka mitano iliyopita ni kwa kiasio gani tumetekeleza,”Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthon Mtaka.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments