Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi jana amekutana na kusalimiana na kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV baada ya kumalizika kwa ibada ya Hija katika Viwanja vya Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro, Vatican.


Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi jana amekutana na kusalimiana na kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV baada ya kumalizika kwa ibada ya Hija katika Viwanja vya Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro, Vatican.


Maarifa Online Media ni chombo huru cha habari mtandaoni kinachotoa taarifa sahihi na za kuaminika kuhusu siasa, uchumi, jamii, michezo, elimu, afya na teknolojia. Tumejikita kwenye uwazi, weledi na uwajibikaji ili kuwafikishia wananchi habari bora na zenye mvuto kupitia tovuti na mitandao ya kijamii.
© 2025. Maarifa Online Media. All RIghts Reserved.


