Tuesday, April 7, 2026
spot_img
HomeHabariRais Biya amteua mwanaye kubwa Makamu Rais

Rais Biya amteua mwanaye kubwa Makamu Rais

Rais wa Cameroon, Paul Biya, amemteua mwanaye, Frank Emmanuel Biya, kuwa Makamu wa Rais, ikiwa ni mara ya kwanza kwa nafasi hiyo kurejeshwa tangu mwaka 1972.

Kwa mujibu wa katiba mpya ya nchi hiyo, Makamu wa Rais atachukua moja kwa moja nafasi ya urais endapo rais hatakuwepo, hatua inayotafsiriwa na baadhi ya wachambuzi kama maandalizi ya urithi wa uongozi.

Wafuasi wa uamuzi huo wanasema unaweza kuimarisha utulivu wa kisiasa nchini humo, huku wakosoaji wakionya kuwa unaongeza hatari ya kuibuka kwa utawala wa kifamilia na kudhoofisha misingi ya demokrasia.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments