Monday, March 9, 2026
spot_img
HomeHabariRais Samia awapa pole majeruhi wa ajali ya ghorofa Kariakoo

Rais Samia awapa pole majeruhi wa ajali ya ghorofa Kariakoo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akiwajulia hali na kuwapa pole majeruhi wa ajali ya kuporomoka kwa ghorofa Kariakoo ambao wamelazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), Ilala Jijini Dar es Salaam leo Novemba 20,2024.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments