Tuesday, December 9, 2025
spot_img
HomeHabariRais Samia azindua Maabara Kuu ya Kilimo

Rais Samia azindua Maabara Kuu ya Kilimo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya Picha alipozindua Jengo la Maabara ya Kisasa ya Kilimo iliyopo Mji wa Serikali Mtumba Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya Sherehe za Sikukuu ya nanenane leo Agasti 08, 2025.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments