Sunday, December 7, 2025
spot_img
HomeHabariSamia achukua fomu ya kugombea urais

Samia achukua fomu ya kugombea urais

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika matukio tofuti tofauti wakati akikabidhiwa fomu ya kugombea nafasi ya Urais kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Jaji wa Rufani, Jacobs Mwambegele. Wengine ni Mgombea mwenza, Dkt. John Nchimbi na Mkurugenzi wa Tume hiyo, Kailima Ramadhani.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments