Friday, December 12, 2025
spot_img
HomeMichezoTOC yatangaza waliopita mchujo

TOC yatangaza waliopita mchujo

Kamati ya Uchaguzi ya TOC imetangaza wagombea waliopita mchujo wa awali wa nafasi mbalimbali za uongozi.

Tanzania Bara, waliopita ni pamoja na Henry Tandau na Leonard Katunzi (urais), na wajumbe kadhaa akiwemo Devota Marwa na Donald Masawe.

Kutoka Zanzibar, waliopita ni pamoja na Nassra Juma Mohamed (urais) na Suleiman Jabir (umakamu wa rais).

Mapingamizi yapokelewa leo na kesho, huku maamuzi yakitarajiwa kutolewa Septemba 16 kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 4, Morogoro.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments