Thursday, March 5, 2026
spot_img
HomeHabariUlega: Wakandarasi fanyeni kazi usiku na mchana

Ulega: Wakandarasi fanyeni kazi usiku na mchana

“Ukipita usiku Dar es Salaam humu ambapo wao wamepewa kazi ya kujenga utakuta kiza kinene watu wamepumzika, wakati nafasi ya kufanya ujenzi ipo, wafanye waweke magari yenye taa kali vibarua wawe pale wawe a shifti mbili wafaye kazi”, Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments