Friday, December 19, 2025
spot_img
HomeHabariDk. Mwinyi ahimiza amani, mshikamano

Dk. Mwinyi ahimiza amani, mshikamano

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi amehimiza amani, umoja, mshikamano na maridhiano nchini Tanzania kwa kuwa ndicho kipaumbele cha chama hicho.

Dk. Mwinyi ameyasema hayo leo, Jumatano Septemba 17, 2025 alipozungumza katika mkutano wa kampeni za Mgombea urais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Makunduchi visiwani Zanzibar.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments