Sunday, October 12, 2025
spot_img
HomeMichezoCoastal Union yataka mashabiki kujitokeza tena

Coastal Union yataka mashabiki kujitokeza tena

Baada ya kushinda 1-0 dhidi ya Prisons kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu, Coastal Union leo itakipiga na JKT Tanzania katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

Kocha Mkuu, Ally Ameir, amewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi akiahidi kuwapa burudani nyingine, huku nahodha Bakari Msimu akisema morali ya wachezaji iko juu na wamefanyia kazi makosa ya mchezo uliopita.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments