Kilombero Sugar imekabidhi tani 5 za “Bwana Sukari” kusaidia Wilaya ya Kilosa kufuatia mafuriko yaliyoacha kaya zaidi ya 400 bila makazi.
Kupitia Mpango wetu wa Msaada wa Dharura, tumekabidhi msaada huo kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mh. Shaka Hamdu Shaka kwa niaba ya familia zilizoathirika.
Tunasalia na dhamira ya dhati ya kuunga mkono na kushirikiana na jamii tunazozihudumia ili kuhakikisha usalama, ustahimilivu na matumaini.







