Rais Dk. Samia Suluhu Hassan leo Novemba 21, 2025 amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ambapo kesho November 22, 2025 anatarajiwa kuwatunuku Kamisheni Maafisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwenye Chuo cha Kijeshi Monduli.












