Sunday, October 12, 2025
spot_img
HomeMichezoTFF yafungia Uwanja Tabora, TRA United kutafuta uwanja mwingine

TFF yafungia Uwanja Tabora, TRA United kutafuta uwanja mwingine

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeufungia Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora baada ya kugundua haukidhi vigezo vya kanuni za leseni za klabu.

Hii inamaanisha TRA United, iliyocheza mchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu dhidi ya Dodoma Jiji na kutoka sare ya 2-2, italazimika kutumia uwanja mwingine kwa michezo yake ya nyumbani hadi marekebisho yatakapokamilika.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments