Monday, December 8, 2025
spot_img
HomeMichezoTSA: Tunajipanga kuikuza michezo ya kuogelea Afrika Mashariki

TSA: Tunajipanga kuikuza michezo ya kuogelea Afrika Mashariki

Washiriki 100 kutoka Tanzania, Kenya, Uganda na Rwanda wamethibitisha kushiriki kongamano la maendeleo ya mchezo wa kuogelea litakalofanyika Novemba 22 katika ukumbi wa PSSSF Tower, Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Ufundi wa TSA, Jeremiah Keema alisema kongamano hilo litajadili safari ya mchezo huo na muelekeo wake.

Wazungumzaji mbalimbali wakiongozwa na Rais wa TSA, David Mwasyoge na Mkurugenzi wa Ufundi Amina Mfaume watatoa mada.

Dirisha la usajili limefungwa na washiriki wametakiwa kufika mapema.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments