Ado Shaibu aendelea na ziara ya kijiji kwa kijiji Tunduru

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu ameendelea na ziara ya kijiji kwa kijiji katika Jimbo la Tunduru Kaskazini kujiandaa na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambapo jana tarehe 6 Septemba 2024 alifanya mikutano ya hadhara kwenye vijiji vya Majala, Fundimbanga, Mbungulaji na Kalulu/Rahaleo.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *