Wednesday, February 11, 2026
spot_img
HomeHabariAdo Shaibu aendelea na ziara ya kijiji kwa kijiji Tunduru

Ado Shaibu aendelea na ziara ya kijiji kwa kijiji Tunduru

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu ameendelea na ziara ya kijiji kwa kijiji katika Jimbo la Tunduru Kaskazini kujiandaa na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambapo jana tarehe 6 Septemba 2024 alifanya mikutano ya hadhara kwenye vijiji vya Majala, Fundimbanga, Mbungulaji na Kalulu/Rahaleo.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments