Sunday, December 7, 2025
spot_img
HomeHabariAsilimia 80 ya Watanzania kutumia Nishati Safi ya kupikia ifikapo 2034

Asilimia 80 ya Watanzania kutumia Nishati Safi ya kupikia ifikapo 2034

“Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Nimekuja Muheza kufanya kazi maalumu ambayo mmeishuhudia hapa, nayo ni kuzindua mradi wa matumizi ya nishati safi ya kupikia. Mmeshuhudia nimegawa mitungi kwa Muheza lakini pia kwa Wilaya nyingine ndani ya Mkoa wa Tanga,” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments