Tuesday, March 3, 2026
spot_img
HomeMichezoMbeya City wafurahia kurudi Sokoine

Mbeya City wafurahia kurudi Sokoine

Klabu ya Mbeya City imekaribisha kwa furaha hatua ya Shirikisho la Soka (TFF) kufungua upya Uwanja wa Sokoine baada ya ukarabati wa sehemu ya kuchezea.

Ofisa Mtendaji Mkuu, Ally Nnunduma, amesema kurejea nyumbani kutawapa mashabiki burudani ambayo wameikosa kwa muda kwani timu imekuwa ikitumia KMC Complex jijini Dar.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments